,

SO SAD!! WASTARA APATA AJALI YA GARI...SOMA HAPA

1:18 AM

Mcheza filamu wa kike mwenye jina kubwa bongo Wastara Sajuki usiku wa kuamkia leo amepata ajali ya gari akitokea sheri kununua mafuta na kupata maumivu ya kichwa.
Wastara amesema alishangaa kuona gari lake likibamizwa pembeni ambapo likadumbukia kwenye mfereji na yeye kujigonga kichwani
“Mimi ninachokumbuka nimetoka sheri vizuri lakini gafla kama gari langu lilibamizwa na gari nyingine na kutumbukia kwenye mfereji“
 

CREDITS : BONGOCLANTZ
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....