USIACHE KUSOMA HAPA, KARIBU TENA NA TENA. ASANTENI <<<CLICK HERE TO SEE THE FULL PICTURE>>>
featured
- 11:11 PM
EXCLUSIVE : PICHA 5 ZA OFISI YA DIAMOND PLATNUMZ ILIVYO...NI BALAA TUPU [ JIONEE HAPA ]
USIACHE KUSOMA HAPA, KARIBU TENA NA TENA. ASANTENI
KUPITIA Gazeti la Mwanaspoti ambalo kwa mujibu wa takwimu za mauzo
nchini ni wazi kwamba halina mpinzani, msanii wa muziki wa kizazi kipya
Diamond Platinumz ametangaza ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Wema
Sepetu anayosema itafungwa hivi karibuni.
Msanii huyo ghali zaidi nchini kwa sasa, ametamka hayo alipozungumza na
Mwanaspoti nyumbani kwake Sinza
jijini Dar es Salaam juzi Jumatano. Alisema kuna mambo mengi yaliyomchelewesha kufikia hatua hiyo, ikiwamo maandalizi kwani amepanga mashabiki wake wahudhurie harusi hiyo.
jijini Dar es Salaam juzi Jumatano. Alisema kuna mambo mengi yaliyomchelewesha kufikia hatua hiyo, ikiwamo maandalizi kwani amepanga mashabiki wake wahudhurie harusi hiyo.
“Ndoa ni kitu cha heri na baraka, lakini kitu kinachofanya kidogo mambo
yachelewe ni kwamba sisi au mimi ni mtu ninayefahamika, kwa hiyo hata
ndoa yangu watu wengi wanatamani waihudhurie,” alisema Diamond.
Pia amesisitiza kwamba ndoa si jambo la masihara kwani ni tendo la kiimani na ndio maana amekuwa makini katika mipango yake.
“Nataka kila kitu kishuhudiwe na mashabiki, ninaweza hata kuifanyia Uwanja wa Taifa,” aliongeza.
“Unajua nilishindwa kufanya mambo haya haraka kwa sababu wengi nadhani
wangeamini kwamba ninafanya hivyo ili
kutafuta umaarufu zaidi, tunataka tufanye kiusahihi yasije
tokea mambo kama ya Instagram tunataka tuje kuwa mfano wa kuigwa.”
kutafuta umaarufu zaidi, tunataka tufanye kiusahihi yasije
tokea mambo kama ya Instagram tunataka tuje kuwa mfano wa kuigwa.”
Alipoulizwa tarehe ya ndoa hiyo Diamond alisema: “Nilishasema ni hivi
karibuni, unajua siku zote vitu vya kheri waswahili wanasema lazima
uvifiche, hata Mwenyezi Mungu
naye anasema anampenda mtu aliye na siri, lazima vitu vingine uvifiche ili
vipate kufanikiwa. Wakati mwingine kunakuwa na husda, hasidi kwa hiyo ukiviweka wazi sana vinaweza kutofanikiwa.”
naye anasema anampenda mtu aliye na siri, lazima vitu vingine uvifiche ili
vipate kufanikiwa. Wakati mwingine kunakuwa na husda, hasidi kwa hiyo ukiviweka wazi sana vinaweza kutofanikiwa.”
Taarifa kwamba Diamond hataoa zilisambaa na kudaiwa kumchefua mchumba
wake Wema Sepetu ambapo katika
mahojiano mkali huyo wa wimbo ‘Mdogo Mdogo’ alisema: “Kwanza sikuwahi kusema siwezi kuoa, nilishtushwa na gazeti hilo, nilisikitika kwa kweli na iliniuma sana, lakini nikaona nikijibu nitaonekana kwamba sina adabu, kwa sababu siku zote anayeanza huwa haonekani lakini anayemaliza. Pia siwezi kubishana na vyombo vya habari, mwisho wa siku ni watu haohao nitawategemea wanifanyie kazi zangu,” alisema.
mahojiano mkali huyo wa wimbo ‘Mdogo Mdogo’ alisema: “Kwanza sikuwahi kusema siwezi kuoa, nilishtushwa na gazeti hilo, nilisikitika kwa kweli na iliniuma sana, lakini nikaona nikijibu nitaonekana kwamba sina adabu, kwa sababu siku zote anayeanza huwa haonekani lakini anayemaliza. Pia siwezi kubishana na vyombo vya habari, mwisho wa siku ni watu haohao nitawategemea wanifanyie kazi zangu,” alisema.
Hata hivyo Diamond alisema mchumba wake anaumizwa na vichwa vya habari ambavyo vimekuwa mwiba kwake.
“Hata hivyo magazeti yetu tumeshayazoea jinsi yanavyoandika, wakati
mwingine inakuwa kama chachandu au kufurahisha baraza,” aliongeza.
Kuhusu taarifa kwamba ameachana na mchumba wake huyo, alisema: “Hatuna
tatizo watu wengi wanasema tumeachana, lakini hatujaachana na hatuwezi
kujibishana.
“Sijui nikujibu nini kwa sababu kila nitakachokujibu utaona namsifia kwa sababu yule ni mchumba wangu.
Jipange101.com
USIACHE KUSOMA HAPA, KARIBU TENA NA TENA. ASANTENI
KUPITIA Gazeti la Mwanaspoti ambalo kwa mujibu wa takwimu za mauzo nchini ni wazi kwamba halina mpinzani, msanii wa muziki wa kizazi...

Hata hivyo maneno muhimu ambayo rapper huyo alimwambia Diamond ni kuwa asije kunywa pombe wala kuvuta (unga/bangi) maishani mwake.
Chidi ambaye Jumanne hii ameachia single yake mpya 'Mpaka Kuche' aliyowashirikisha Diamond na AY, alikuwa akihojiwa kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM. Katika kuashiria kuwa hiyo ilikuwa ni interview iliyogusa sehemu ya katikati kabisa ya moyo wake, Chidi alijikuta akibubujikwa na machozi.
Chidi alikumbushia siku Diamond alipompigia simu kujitambulisha kwake kuwa ni msanii mchanga anayetaka kumshirikisha kwenye wimbo wake. Hata hivyo siku Diamond amefanikiwa kumpata Chidi hewani ilikuwa ni baada ya kujaribu kumtafuta kwa siku nyingi bila mafanikio na aliwahi kumweleza mama yake namna alivyo na hamu ya kumshirikisha rapper huyo aliyekuwa akimkubali.
Baada ya kumpigia simu, Chidi anadai alimuambia Diamond aende kwao maghorofani Ilala wakazungumze vizuri.
"Sasa nikamuona (Diamond) nikajua huyo dogo ndio yule niliwaambiaga watu kuwa ‘huyu dogo ana sura moja hivi imekaa.. sura yake lazima utaiongelea tu, lazima utasema kitu, namuona atakuja kuwa staa tu, simjui lakini the way alivyo, atakuja kuwa staa,” alikumbushia Chidi.
-udakuspecially
USIACHE KUSOMA HAPA, KARIBU TENA NA TENA. ASANTENI
featured
- 12:05 PM
CHID BENZ AMWAGA MACHOZI ALIPOKUWA AKISIMULIA STORY YA DIAMOND...UNAJUA NI NINI KINACHOMLIZA??? INGIA HAPA
Chidi Benz alitabiri mbele ya Diamond Platnumz (wakati bado underground) kuwa angekuja kuwa msanii mkubwa. Hata hivyo maneno muhimu am...
Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekatwa kichwa, James Wright Foley (kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum.
Kabla
ya kuuawa kwake, Foley, aliwataka marafiki,
wanafamilia wake na wapenzi
wake wote kupambana na “wauaji wangu wa kweli” ambao ni serikali ya
Marekani.
Foley
akiwa na muuaji wake ambaye alisema
kitendo cha kumwadhibu mwandishi
huyo ni kulipiza kisasi mashambulizi ya ndege za Marekani nchini Iraq.

Foley enzi za uhai wake hadi alipopotea Novemba 2012, baada ya kutekwa huko Taftanaz, kaskazini mwa Syria.

Mama yake
Foley, Diana, na baba yake John, wakiwa katika mkesha kanisani kuwataka
wapiganaji wa ISIS kuwaachia
mateka wao.Kikosi cha kiislam cha kijeshi
chenye msimamo mkali kimeachilia video inayoonesha mauaji ya mwandishi
habari mwenye asili ya Marekani. James Foley alipotea tangu
alipokamatwa mateka na kushikiliwa nchini Syria miaka miwili iliyopita na sasa ameuawa.
Ikulu ya Marekani imesema inaifanyia uchunguzi wa kina video hiyo na ikithibitika kwamba mwandishi huyo wa habari ni wa taifa hilo ,serikali ya Marekani itataka ufafanuzi wa kina ilikuaje na kwanini James Foley auawe.Picha na habari kwa hisani ya GPL
Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekatwa kichwa, James Wright Foley (kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum. Kabla ya kuuawa...


