,

CASILAS AWAOMBA RADHI MASHABIKI BAADA YA KUPOKEA DOZI NZITO..

5:06 AM


 Robin van Persie akimlamba chenga kipa wa Hispania, Iker Casillas kabla ya kuifungia Uholanzi bao la nne katika ushindi wa 5-1 kwenye mechi ya Kundi B Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil.
Kipa wa Hispania, Iker Casillas, amewaomba msamaha mashabiki kutokana na kikosi chao kuchapwa mabao 5-1 na Uholanzi kwenye Kombe la Dunia!
USIACHE KUSOMA HAPA, KARIBU TENA NA TENA. ASANTENI

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....