, ,

TABIA YA USAGAJI, IMEENDELEA KUOTA MIZIZI. HASWA MAENEO YA VYUONI

2:35 AM


Inasemakana ya kwamba maeneo ya vyuoni kumekuwa na wimbi kubwa la tabia hii ya usagaji, uchunguzi unasema. Tabia hii imekuwa sana sehemu hizo kutokana na uhuru uliozidi kwa wanafunzi. Wanafunzi fulani
walihojiwa kuhusu swala hilo la kujiingiza kwenye usagaji na kujibu kwamba wao husikia raha zaidi wakifanya wenyewe kuliko wakishirikisha mwanaume, wakadai ya kwamba wanaume wengi wa siku hizi hujiridhisha tu
wenyewe na kisha kukuacha wewe bado, ni mateso ndio mana sipendi wanaume. TOA MAONI YAKO MDAU

USIACHE KUSOMA HAPA, KARIBU TENA NA TENA. ASANTENI

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....