,

VITUKO VYA BRAZIL 2014!! MSHABIKI WA NIGERIA WAOMBA WAONGEZEWE KONDOM MILION 62...

1:23 AM

‪#‎BRAZUKA‬#Kikundi cha ushangiliaji pamoja na mashabiki wa timu ya Taifa ya Nigeria kupitia raisi wao bwana Rafiu Ladipo amesema kondom milioni 2 walizopewa na shirika la UNAIDS kwa ajili ya matumizi yao kwa kipindi chote watakachokuwepo nchini Brazil kwenye fainali za kombe la dunia hazitatosheleza mahitaji yao.
Raisi huyo amesema idadi iyo ya kondom walizopewa ni bajeti ya matumizi ya siku moja kwaiyo wameliomba shirika hilo kuongeza idadi ya kondom milioni 62.
Bwana Rafiu ameliomba shirika hilo kuyapa maombi yao kipau mbele kwani mashabiki hao wangependa kufanya tendo la ndoa kila siku wanapomaliza shughuli zao....

MMMMH!! MAKUBWAAAAAAAAAAAA

USIACHE KUSOMA HAPA, KARIBU TENA NA TENA. ASANTENI

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....