Akizungumza na mtandaowa filamucental, kingwendu amesema kuhusu jimbo
na chama atakachokitumia kutafutia nafasi hiyo bado hawezi kuviweka
wazi kwa sasa kwa kua yupo kwenye mazungumzo na washauri wake
"nimejipanga vya kutosha kuingia bungeni na niko kwenye mikakati
mikubwa na washauri wangu wa mabo ya siasa wanaendelea kunipika ili
niive lakini ndio hivyo nawaomba wa Tanzania waniombee tu ili
nikawawakilishe"aliuwambia mtandao huo
"kwa sasasitaki kuweka wazi chama nitakachoingia nacho bungeni jimbo
lake, lakini vuguvugu za uchaguzi zikianza tu, nitaweka wazi lakini kwa
chama kinachopendwa sana na wana nchi na jimbo ntakalogombea ni hapa
hapa mjini Dar aliongeza
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments