,

DR SLAA AIVURUGA CCM KIBAHA, TAZAMA HAPA

10:07 AM

Makada watatu wa CCM  akiwemo aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini mwaka 2010, Dk. Rose Nkonyi, wamejiunga na CHADEMA.
Makada hao walijiunga na CHADEMA jana na kukabidhiwa kadi na Mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya taifa, Freeman Mbowe, katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mailimoja, ikiwa ni ziara ya Operesheni Movement  For Change (M4C) Pamoja Daima.
Waliojiunga na CHADEMA mbali na Dk. Nkonyi ni Joseph Chakale, aliyekuwa mjumbe wa  Kamati ya Utekelezaji CCM ngazi ya wilaya na Hafidh Mudhihiri aliyekuwa Katibu wa Vijana wa Tawi la Mailimoja.
Wakizungumza katika mkutano huo makada hao walisema wameamua kuihama CCM baada ya kubaini chama hicho hakina dhamira ya kuwaletea Watanzania maendeleo.

#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....