UKISIKIA MAAJABU NDIO HAYA: HAWA NDIO WATOTO WA MIAKA 3 WANAOKUNYWA BIA ZAIDI YA 5, TAZAMA HAPA
9:51 AM
AMA
KWELI DUNIA INA MAMBO NA UKISHANGAA YA MUSA UTASTAAJABU YA
FIRAUNI...Hii imetokea huko nchini Nigeria, ambapo watoto hao wawili
pichani wa kutoka familia
moja wenye umri kati ya miaka miwili na mitatu inasemakana wana uwezo
wa kunywa chupa tano za bia kila mmoja,
kama inavyo onekana pichani wakipiga kinywaji....Mcheki kwa makini huyo
dogo wa mbele ambaye ndio mdogo jinsi sura yake ilivyo utajua kabisa
kinachooongelewa ndicho...!
0 comments