matukio,
mpya,
wasanii
PICHA YA DAVIDO AKIWA KALALA NA MSANII WA BONGO MOVIE YAVUJA, KAMA UNA MACHO TAZAMA
10:29 AM
Msanii maarufu wa muziki wakizazi kipya
ajulikane kwajina la davido toka nchini Nigeria anaetamba na kibao chake
cha SKELEWU na pia kushirikishwa katika ngoma ya MY NUMBER ONE REMIX ya Diamond hivi ndivyo alivyo pigwa picha na mwana dada huyu anaedaiwa
kuwa mwigizajiwa bongo wakiwa katika pozi la mahaba alivyokuja Bongo. Hii picha imepigwa chumbani na inasemekana mdada huyu kaivujisha ili apate kick zaidi pale mitandao itakapoanza kuandika habari zake. Kama unawafahamu vizuri wasanii wa bongo movie tazama vizuri picha, UTAMTAMBUA NI NANI HAPO KWENYE HIYO PICHA
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments