UKUMBI wa Club 71 ulioko Tegeta, jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamikia
leo ulirindima kwa show bab’kubwa ya msanii Mirror kutoka kampuni ya
Endless Fame aliyesindikizwa na madiva katika Bongo Muvi kina Wema
Sepetu, Kajala Masanja na Jacqueline Wolper.
0 comments