mpya,
wasanii
JAGUAR AFUNGUKA, ASEMA GARI YA PREZO ALONUNUA INAINGIA MARA 16...SOMA ALICHOSEMA NA TAZAMA MAGARI YAO HAPA
8:30 AM
Gari ya Jaguar Hii Hapa Chini
Gari
la Jaguar lenye thamani ya shilingi Milioni 16 za Kenya ambalo liko
mwisho wa hii post, aliiingia nalo kwenye uwanja pembeni kabisa ya
jukwaa alipokwenda kufanya show ambapo alishuka kwenye gari wakati time
yake ya kupanda jukwaani ilipofika, alikua kalipaki karibu kabisa na
ngazi za kupandia jukwaani.
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments