mpya,
wasanii
HII NDIO GARI, NYUMBA NA STUDIO MALI ZA MSHINDI WA EBSS, EMANUEL MSUYA....TAZAMA HAPA
8:21 AMMara baada ya kuwa kimya tangu anyakue kitita hicho, leo hii Madam Ritha ambaye ndio mmiliki wa shindano hilo amepost picha mtandaoni ikionyesha gari aina ya Opa, Nyumba na Studio ndani yake akiwemo Emanuel huku post hiyo ikisindikizwa na maneno hayo hapo chini;
“Gari, nyumba na studio ya Mshindi wa EBSS 2013 Emmanuel Msuya. Tayari Emmanuel ameshaanza kurekodi nyimbo za wasanii wengine kupitia studio yake na hivi karibuni anatarajia kuachia video ya wimbo wake na kazi zake nyingine.”
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments