Leo majira ya asubuhi msanii wa Bongo movie aliweka picha huku
akiwa amekumbatiwa na mwanaume na kusema kuwa “nimemisi kumbatio la
huba” kutokana na kauli hiyo wadau wameweka maswali mengi na kuuliza je
huyu ndiye mume mtarajiwa wa Wastara au la. tunatafuta ukweli
wa swala hili kisha tutalifikisha kwenu wadau wa Tovuti yetu....
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments