,

WASANII WENGI BONGO MOVIE WANA UKIMWI, SOMA HAPA

9:57 AM


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXRRSmqV_M0OpdqRCeFkN86J4hgP60dn49WtVYtqe1Cps2dGG9GCoR34CmOI-y6zCGsskaIBAr5iYFCJzXtDRp155oCIMhyphenhyphen8pFvStvLPx-2_D9ugO7yrZH5GIR0yhRK1VAJcbVDdCVzR8/s640/Miriam-Jolwa-Kabula-cut.jpg 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua msanii mkongwe kiwanda cha Bongo movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema kuwa hakika gonjwa hatari la ukimwei litawateketeza wasanii wote wa Bongo movie na hakuna atakaebaki kama hawatobadilika kitabia.

Akiongea na gazeti la pendwa na Watanzania Maskani Bongo alisem" Sio siri kwa mfano leo hii wasanii wote bongo movie waseme wakamatwe kinguvu wakapimwe HIV utaona hali ilivyokuwa mbaya na sijui hata mmoja atakuwa mzima na sababu kubwa ni njaa ambapo sisi wengi wetu tuna majina lakini hatuna kitu hivyo hiyo hutoa nafasi ya kujirahisha ili kupata pesa" Alisem Kabula kwa uchungu.

credit : xdeejayz
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....