,

MWISHO MWAMPAMBA ALAMBA SHAVU, NI WAPI........SOMA HAPA

12:20 PM



Aliyekuwa mwakilishi wa mara mbili kutoka Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa, Mwisho Mwampamba ataonekana hivi karibuni kwenye kituo cha runinga cha TV1 kama mtangazaji.

Kupitia Instagram, TV1 wameweka picha hii ya ya baadhi ya wafanyakazi wa TV1 akiwemo Mwisho na kuandika; Guess who’ll be next as #TV1Host #tv1tanzania #comingsoon #tvproduction #tv #tanzania #africa #daressalaam #mikocheni #studios #set
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....