,

MPIGA PICHA WA DIAMOND AFUNGUKA MAZITO, SOMA HAPA

10:54 PM


Siku zote napenda kujifunza vitu vipya,nisivyovifahm kuhakikisha navifahamu.
na kwa kila hatua ya ufahamu ninayoipiga sisahau kumkumbuka Diamond,mtu ambaye siku zote amekuwa akinitia moyo na kuwa naweza ,kutonikatisha tamaa ninaposhindwa ndiyo kumenifanya .sijasoma upigaj picha,leo ni mpiga picha wake mzuri kwa sababu yake..yeye ndie kanishape siku zote amekuwa akiniambia..HAKUN ALOZALIWA ANAWEZA,sijasoma graphics,sikuwa nafaham chochote leo japo cijabobea but i can do anythn concerning graphics,iwe matangazo,iwe poster,ma kugeuza picha kuwa vile nitakavyoO PIC JUU.. KAMA HIY...yote ni sababu yake.
He is ma best boss of all time.jion njema


#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....