,

JINSI MWILI WA MWANAFUNZI ANASTAZIA MAGAFU ALIYEUAWA NA BABA AKE KWA KUPEWA SUMU ULIVYOAGWA NA WANAFUNZI WENZIE

7:36 AM


Marehemu Anastazia Lackford Magafu enzi za uhai.
Waombolezaji wakisubiri kuuaga mwili wa marehemu Anastazia Lackford Magafu aliyefariki baada ya kudaiwa kuchomwa moto na baba yake kisha kupewa juisi yenye sumu.
 
Mwili wa Anastazia Lackford Magafu wakati ukiagwa katika Shule ya Sekondari Mwanza.
Mwili wa marehemu Anastazia Lackford Magafu juzi uliagwa katika Shule ya Sekondari Mwanza alipokuwa akisoma enzi za uhai wake.
Inadaiwa kuwa kifo cha marehemu Anastazia kimesababishwa na sumu iliyowekwa kwenye juisi aliyopelekewa na baba yake, Lackford Magafu maarufu kwa jina la DJ Lackford, wakati akiwa amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC) akitibiwa majereha ya moto.
Tukio la kifo hicho liliotokea Aprili 16 mwaka huu, ikiwa ni muda mfupi baada ya kunywa juisi inayodaiwa kuwa na sumu, hivyo kuzua utata wa chanzo cha kifo hicho.
>>>GPL


#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....