,

BONGOMOVIE WAINGIA KWENYE BIASHARA YA CASSINO, TAZAMA HAPA

7:04 AM

Balozi wa Uturuki nchini, Ali Dovutoglu akitoa hotuba fupi wakati wa uzinduzi wa Princess Casino, kushoto ni wamiliki wa casino hiyo.



Mtangazaji wa DTV, Penniel Mungilwa aliyekuwa mshereheshaji katika uzinduzi huo akifungua sherehe.
Msanii Ismail kutoka B-Band akipagawisha umati wa watu waliohudhuria uzinduzi huo.Banana Zorro akiimba sambamba na wanamuziki wa B-Band.

Jacqueline Wolper (kulia) pamoja na Penny (kushoto) wakipozi na mmoja wa mashabiki wao.
Msanii wa dansi kutoka Uturuki akiwajibika jukwaani.
Msanii JB akiwa katika pozi na mmoja wa wamiliki wa Princess Casino.
Na Waandishi Wetu
CASINO ya kisasa inayokwenda kwa jina la Princess Casino ilizinduliwa jana katika mkesha wa Pasaka jijini Dar na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali huku burudani za hapa na pale zikisindikiza uzinduzi huo.
Casino hiyo iliyopo maeneo ya Posta mtaa wa Ohio jijini Dar, inamilikiwa na wawekezaji kutoka Uturuki.
Katika uzinduzi huo, mgeni rasmi alikuwa balozi wa Utuuki nchini, Ali Dovutoglu.


#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....