,

UNAJUA KAZI YA SHANGA KWENYE 'MAMBO YETU'?? PATA SHULE HAPA (18++ ONLY), WATOTO MARAFUKU

6:40 AM


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixI8lkUz9sBaEiviaujFgdDgJMxy8Pt8WDJohALd9v1xDGaRiXm_1BNfkHEWxhMatmUow0bTUmGWWvo-uLy5Pt7SgwlHfqtkb1OVLc60dWYYTHvislkL95r2D4rInb-DzT60lFtO5pdheN/s640/sg.jpg
Kiuno cha mwanamke hupendeza zaidi na kuvutia kama kikipambwa kwa kukivalisha shanga,Nami nakupa maana na kazi ya shanga hizo

1: UNAWEZA UKAZIVAA KAMA UREMBO

Kuna baadhi ya wanawake siku hizi wanapenda kuvaa shanga kama urembo,na kusema kweli kiuno cha mwanamke kikivalishwa shanga kinapendeza na kuongezeka mvuto,Sio tu kwa wanaume bali hata kwa wanawake pia,ukivaa shanga kiuno chako kitapendeza .
Kama unatamani kujaribu,ondoa uoga,kanunue kisha na wewe uvae pia.

2. HUONGEZA HAMU NA MZUKA WA KUKATA KIUNO WAKATI WA KUPEANA RAHA

Hushawahi kuwaona baadhi ya wanawake wanapokuwa wanacheza ngoma,kiunoni huvaa kitu kinachoitwa kibwebwe ambacho huwafanya wajifeel wepesi wa kukata miuno,baadhi ya wanawake pia huvaa shanga kwa ajili ya kufanya iwe rahisi kwao kukatika na viuno vionekane kweli vinakatika.Na pia wanasema sio tu zinawasaidia kukata kiuno vizuri lakini pia zinaongeza mvuto mwanaume akiangalia kiuno kilichovalishwa shanga kikikatika.

3. UNAWEZA UKAZIVAA KWA AJILI YA KUMPA HAMU YA KUPATA RAHA MWANAUME


Asilimia kubwa ya wanaume wakiona kiuno kimevalishwa shanga,haijalishi kama ni barabarani au ndani ya basi,Lazima mashine zao zipate shida ya kujizuia kusimama bila kupenda.Ki ukweli ukiziona shanga zipo kiunoni lazima upate hamu kama wewe ni mwanaume wa ukweli,kwahiyo kama huna mazoea ya kuzivaa,na ulikuwa unapenda kufanya au kuongeza kitu kipya kwenye uwanja wenu wa kupeana raha na utamu,basi nenda kanunue shanga,kisha uzivae ukiwa peke yako kwa ajili ya kumsuprise mpenzi wako.
Utajua kama anazipenda kwa jinsi atakavyokuwa bize kuzishikashika na kuzitomasa muda wote mkiwa mnapeana raha.

4. UNAWEZA UKAZIVAA UKIWA UNAMAANISHA KITU

Kuna baadhi ya wanawake wanazivaa shanga kwa kutumia rangi ambazo zitaleta maana au ujumbe ambao anataka umfikie yule aliyemvalia,mara nyingi huwa inaleta maana au ujumbe utafika kama mwanaume husika atakuwa anaelewa maana ya hizo rangi za shanga.
Zifuatazo ni rangi za shanga na maana yake..

NYEKUNDU


Kama ukikuta mwanamke amevaa shanga za rangi nyekundu,basi ujue yupo kwenye siku zake ( Hedhi ). Kwa hiyo unaweza kumuuliza ili upate uhakika zaidi usije ukaingiza mashine ukaishia kujichafua.

NYEUPE

Ukikuta mwanamke amevaa shanga za rangi nyeupe basi ujue kuwa kwa muda huo,Hana tatizo lolote litakalomzuia kukupa wewe raha,kwahiyo upo free kufanya chochote kwenye mwili wake.

NYEUSI

Ukikuta mwanamke amevaa shanga za rangi nyeusi,basi ujue kuwa yupo tayari kukupa raha,lakini tatizo bado hajanyoa nywele zake za sehemu za siri kwa hiyo waweza kumnyoa kama kweli upo romantic au ukaacha siku hiyo ipite ili anyoe baadaye au kama hamu imekuzidia sana unaweza ukaendelea kama kawaida.

5. UNAWEZA UKAZIVAA ILI UJIONGEZEE RAHA WEWE MWENYEWE WAKATI WA KUPEANA RAHA

Kiuno cha mwanamke kimeumbwa na hisia za kimahaba,na ndio maana ukikitomasa au ukikipapasa,lazima mwanamke apate raha.Ukiwa unapewa raha na mwanamke aliyevaa shanga,Wakati wa kupashana joto,usisahau kuzichezea shanga zake kiunoni.Kama style mnayotumia kwa wakati huo inaweza kuruhusu mikono yako ifike kiunoni pake basi peleka mikono yako,Chezea shanga kwa kuzipapasa kutoka juu kwenda chini au kutoka chini kwenda juu,au vyovyote unavyoweza.ukifanya hivyo hizo shanga zake zitakuwa kama zinamtekenya,na atapata raha na utamu wa kipekee sana.Utaenjoy makelele na miguno ya kimahaba atakayokuwa anazidisha ili uendelee kufanya mwanzo mpaka mwisho.

Nyoneza kwa wale wasiopenda shanga
KAMA UKIONA MPENZIO HAFURAHII SHANGA,UNAWEZA KUVAA CHENI,IWE YA GOLD AU SILVER...sababu ni kuwa ni raha sana kukipamba kiuno cha mwanamke.
 https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn1/p480x480/564099_1410196789209775_1895920147_n.jpg
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....