,

TAZAMA HUYU MUIMBAJI WA INJILI ALIVYOTIA AIBU JUKWAAN, HII INA MAANISHA NINI JAMAN

11:46 AM




Wengi wetu tunaamini hii ni moja kati ya ishara za mwisho wa dunia, hebu fanya kujaribu kuiangalia picha hii kwa makini, hivi kweli unaweza kusema Wakristu wanaendelea kwa sababu dunia nayo inaendelea? Mwanamke huyu kweli anaweza diliki kusema kwamba anaishinda roho ya Mungu akiwa anafanya uchafu kama huu akiwa kwenye steji?

Hebu fanya kusoma habari hii chini....

Mwanamuziki mmoja wa nyimbo za injili nchini Kenya aitwae Size 8, ambaye hivi karibuni inasemekena aliokoka, usiku wa jana alinaswa na kamera akiwa anacheza na mwanaume huyu ambaye hakufahamika jina kwenye moja kati ya kumbi za starehe.

Alipoulizwa juu ya hili, mwanamuziki huyo alisema alichokuwa anakifanya ni kazi ya Mungu kwa kuongea na wanaume wenye matamanio.

Vyanzo vingine (Ghafla na Kenya Post) vilieza kwamba baadae muimbaji huyo alikuja kufanya ngono isiyo salama na jamaa huyo kwenye maeneo ya wazi, ila Size 8 alikanusha habari hiyo na kusema kwamba alikuwa amelewa kiasi.

Je huu tuuiteje, kwamba ndio uokovu wa kisasa ama..
- See more at: http://onelovetz.blogspot.com/2014/02/wokovu-wanao-imba-uko-wapi-mwimbaji-wa.html?utm_source=feedburner&utm_medium=feed&utm_campaign=Feed%3A+blogspot%2FhgdRs+%28Onelove+Tz%29#sthash.Gv6QNCXX.dpuf

#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....