,

MAJANGA : MWANAFUNZI AJINYONGA KWA HOFU YA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE...TAZAMA PICHA

10:11 PM

 Mwanafunzi  aliyekuwa akisubiri kufanya  mtihani  wa kidato cha nne unaotaraji  kuanza kesho Bw Khamis Mkundo mkazi  wa Mwangata C katika Manispaa  ya Iringa  akiwa amejinyonga  usiku  huu kuhofu  mtihani  wa kidato cha nne
 Mwenyekiti  wa serikali ya mtaa wa Mwangata C Bw Sarehe Mgimwa akisoma ujumbe  ulioachwa na marehemu huyu 
BOFYA HAPA KUANGALIA PICHA ZAIDI
 Askari  kanzu  akikagua  mwili wa mwanafunzi  huyo 

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....