HII NDIO LIST YA MATAJIRI 50 AFRICA, WABONGO WANNE NAO WAINGIA KWENYE LIST...BOFYA HAPA

12:40 AM

dangoteMtandao wa Forbes maarufu kwa kutoa taarifa kama hizi, umetoa list mpya ya matajiri 50 kutoka Africa na kuhusisha vyanzo vya pesa zao, umri wao pamoja na kiasi cha pesa wanachomiliki.

List imeongozwa na Mnigeria Aliko Dangote (kwenye picha hapo juu) na mtanzania wa kwanza ameonekana kwenye namba 27 akiwa na utajiri wa dola bilioni moja. Cheki list yote hapa.
Watanzania hawa wanne ni Rostam Aziz kwenye namba 27, Reginald Mengi namba 34, Bakhresa namba 38 na Mohammed Dewji namba 38.
Unapenda kupata stori motomoto kama hizi kila siku na kwa wakati? jiunge kuwa mdau wa Tanzanianewz.com kupitia facebook.comTznews 70 na twitter.com/TzNews 70  
1
2
3
4
5
-Millardayo.com

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....