RIHANNA AFUNGUKA JINSI GANI ANAMPENDA HUYU MSHAMBULIAJI WA GHANA..

12:21 AM


#Brazil2014: Rihanna Crushing On Ghana’s Kevin-Prince Boateng [PHOTO]
Baada ya kuwa single kwa muda sasa baada ya kuachana na mpenzi wake Drake, Rihanna ameamua kuonyesha wazi kuwa anampenda huyu mchezaji wa Ghana. Bila kuficha aliamua kutweet hii kitu hapa chini......mmh. TUSUBIRI TUONE
riri_NL1

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....