,

PICHA KUTOKA NYUMBANI KWA MAREHEMU MZEE GURUMO.....TAZAMA HAPA

2:22 PM



Maandalizi ya mazishi ya Mwanamuziki Mkongwe Muhidin Gurumo bado yanafanywa na familiamillardayo.com imefika nyumbani kwa marehemu na kuongea na mtoto wa kwanza wa marehemu Abdallah Muhidin Gurumo.

Abdallah amesema mpaka sasa kama familia wameamua mazishi yafanyike Jumanne ya

April 15 kijiji alichotoka marehemu Gurumo,Masaki wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani saa 4 asubuhi.

Hizi ni baadhi ya picha hizo.











Credit: millardayo.com
 

#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....