MWANADAFADA
mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa kwa sasa
yupo tayari kuigiza nusu utupu kwa sinema za nje ya nchi.
Akipiga stori mbili-tatu na kona hii, Batuli alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa zinafungiwa kwa kukosa maadili na kwamba kama ikitokea nafasi akaitwa nje ya nchi kuigiza sini hizo, atakuwa tayari.
“Zamani
nilikuwa nikiogopa kuigiza nusu utupu. Wenzetu Nigeria wameendelea na
ndiyo maana wanaigiza hata nusu utupu, kama itatokea nafasi ya kuigiza
huko (nje ya Bongo) nusu utupu, nipo tayari,” alisema Batuli.
Akipiga stori mbili-tatu na kona hii, Batuli alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa zinafungiwa kwa kukosa maadili na kwamba kama ikitokea nafasi akaitwa nje ya nchi kuigiza sini hizo, atakuwa tayari.

-GPL
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments