,

HEBU TAZAMA HIZI PICHA, UUH....WANAUME KAZI IPO HAPA. JIONEE MWENYEWE HAPA

8:00 AM

Kwa Bongo tunajua kwamba mwanadada Agnes Gerald aka ‘Masogange’ anafunika bovu kwa kuwa na booty yenye mvuto zaidi,ila huko Kenya ni shida nyingine tena tunakutana na mwanadaa Corazon Kwamboka ambaye ametokea kuwa gumzo na tishio kwa warembo wengi nchini humo.
Corazon Kwamboka ambaye ni mwanasheria by profession, ameiteka blogsphere ya Kenya kwa umbo lake matata na kuvutia kama la Agnes Masogange. Hii imewafanya wasichana wengi wa Kenya wamuonee wivu na kumsema vibaya. Jionee mwenyewe...


#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....