,

HAYA NDIO MAJANGA YALIYOLETWA NA MVUA LEO HUKO DAR, NI BALAA

8:43 AM
















Mitaa ya Nyumbani Lounge
Huko mtaani watu wamepata ajira lakini kwa bei za ajabu
 "Dada nakubeba lakini ujue nauli kukufikisha kituoni Elfu 10"
Ah kaka elfu 10 kubwa sana mimi nna buku 2 tu
"Ah kama buku 2 nakushusha hapahapa katikati ya dimbwi,yaanj umevaa nguo za Louis Vuitton umemechisha na begi halafu unanipa buku 2 hizi si dharau?"
Mara....DUBWIIIII  by Seth Giovanni



Morogoro Msamvu Picha na Kajunason Blog






Daraja huko Bagamoyo nalo chini cheki video hapa chini
Daraja la mapinga bagamoyo.hamna mawasiliano ya dar na bgmoyo nasikia hvo.very sad
TUWAKUMBUKE KATIKA SALA ZETU.

#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....