,

HABARI KAMILI KUHUSU MWALIMU MWENYE MAKALIO ALOZUA GUMZO...

7:31 AM


Mtandao huu umetumiwa picha hii ya mwalimu wa shule moja ya Sekondari iliyopo Mkoani Kagera vijijini ambae amelalamikiwa na wazazi kufuatia wanafunzi wa shule hiyo kushindwa kusoma vizuri kisa makalio yake makubwa ambayo kipindi akiwa anaandika somo ubaona huku nyuma yakitikisika kwa staili ya kipekee.


Kwa mujibu wa mzazi huyo ambae alimvizia dada huyo akiwa kwenye nyumba za walimu na kumpiga picha inayoonekana hapo juu alisema” Unajuwa huyu mwalimu anafundisha kidato cha kwanza huku ifahamike wanafunzi wengi wa umri huo ni wale wanaobarehe hivyo inawauwiya vugumu kuvumilia shughuri aliyonayo mwalimu huyo nyuma” Alisema mzazi huyo ambae aliomba hifadhi ya jina lake

MAKALIO YA MWALIMU WA SEKONDARI YASABAISHA WANAFUNZI WA KIUME KUSHINDWA KUSOMA WAZAZI WAOMBA AONDOLEWE ILI KUWANUSURU WANAFUNZI HAO

#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....