,

HILI NDILO JOKA KUBWA ZAID DUNIANI, LILILOKAMATWA HUKO MISRI, TAZAMA HAPA

7:21 AM




Hizi ndizo picha za joka la ajabu ambalo aliuawa timu ya wataalamu na wanasayansi huko Misri,  Joka hilo lilipatikana katika bahari ya Sham (Red sea) na tayari  inasemekana joka hilo lilikuwa limeshaua watu 320 ambao ni watalii pamoja na waogeleaji wengine 125 wanasemekana wameshauawa na joka hili.
Wanasayansi ambao walifanikisha kukamatwa kwa joka hilo na kuuawa ni hawa, D. Karim Mohammed, d. Mohammed Sharif, d. Mr. Sea, d. Mahmoud students, d. Mazen Al-Rashidi. na wazamiaji ni Ahmed leader, Abdullah Karim, fisherman Knight, Wael Mohammed, Mohammed Haridi, spears Alvajuma, Mahmoud Shafik, a full-Sharif. Kwa sasa joka hilo limehifadhiwa katika makumbusho ya wanyama ya Sharm El Sheikh international 
Hili joka ni zaidi ya anaconda, kama unavyoona picha hapo juu.....limebebwa na semi trailer lakini bado haikutosha......Duuuuh

#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....