Picha za Nicki Minaj zikimwonesha akiwa kavaa kikoti ambacho kiliacha maziwa yake nje zilisambaa katika mitandao mbalimbali na kufanya watu wajiulize kama ilikuwa ni bahati mbaya kuvaa vile au alifanya makusudi kama tulivyomzoea.
Minaj mwenyewe alizishare Instagram kumaanisha haikuwa
bahati mbaya, lakini kupitia kipindi cha Ellen Nicki amethibitisha kuwa
hapendi kuvaa nguo ya kuhifadhi kifua chake (bra) na kuziita nguo hizo
‘devil’.
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments