,

HILI FUMANIZI LILIKUWA KIBOKO, USIOMBE YAKAKUKUTA....TAZAMA HAPA

9:53 AM

4
Sukari hugeuka shubiri pale fumanizi linapochukua nafasi na hiyo ndiyo sababu ya mwanamke anayeitwa Sheila kukiri kwamba mume wa mtu ni sumu kisha kujiapiza kuwa hatarudia tena.
Sheila, alifumwa na mume wa mtu anayeitwa Baba Joyce kwenye nyumba moja ya kulala wageni, iliyopo Manzesei.
Domo lagu , lilinyetishiwa fumanizi hilo baada ya vurugu kuanza na lilipofika eneo la tukio, lilimkuta mwenye mume, Mama Joyce akimsulubu Sheila kwa makonde, mateke na vichwa.

Shuhudia  picha  hapo  chini
6 5 2 1

Tupe Maoni yako hapo chini



#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

1 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....