,

DUUH, TAZAMA JINSI MCHUNGAJI ALIVYOFUMWA AKIIBANJUA AMRI 6 NA MKE WA MTU, APEWA KIPIGO KITAKATIFU..ONA HAPA

10:36 PM



Kizaazaa kilishuhudiwa mjini Karatina kaunti ya Nyeri, baada ya kasisi wa kanisa moja kufumaniwa peupe akiwa na mwanamke anayesemekana kuwa mke wa wenyewe ndani ya chumba cha malazi. Kasisi huyo alipatikana na umati wa watu, uliofika hapo kushuhudia sinema ya bure. Inadaiwa mchungaji huyo alikuwa na tajriba ya kuendesha ibada yake sio kanisani tu, bali hata kwenye vyumba vya malazi.


TAZAMA VIDEO HAPO CHINI...



#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....