,

WOLPER APIGWA MIMBA, SOMA ZAIDI HAPA

2:40 AM


Bongo Movie: Jacqueline Wolper asimulia kwa ufupi jinsi alivyoshindwa kuwa


Muigizaji wa kike Jacqueline Wolper aka Wolper Gambe ambaye anafanya vizuri kwenye tasnia ya filamu Tanzania ikiwa ni pamoja na kucheza uhusika wa msichana ‘nunda’ ama mkatili, anajiandaa kuachia filamu aliyoipa jina ‘Tom Boy’ ama ‘Jike Dume’.
Wolper Gambe amesimulia kwa ufupi kupitia Instagram jinsi alivyouvaa uhusika katika filamu hiyo akiwa kama ‘Jike Dume’ aliyeamua kujimilikisha msichana mwenzake lakini mwisho wa siku yeye mwenyewe aliishia mikononi mwa mwanaume wa kweli na kupewa ujauzito kiulaini.
“Ni kazi mpya ni kali sana aipotoshi bali yaelimisha.nilijihi mwanaume nikamilik dem lkn kumbe mwanamke ni mwanamke tuu nikaja kupewa mimba nakuolewa na huyo kaka hapo.so kwa wale wenzangu fanaofanya fanyeni lkn kumbuken kuna wanaume na ndo maana mungu kaumba kike na kiume.hii movie inaelezea kila ktu ikitaka kutoka nitawajulisha stay kunogewaaa mambo binafs follow @wolpergambe hii acc yakazi tu.” Ameandika Wolper Gambe.
credit:swahiliTz

NI STORY TU YA MOVIE WADAU

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....