,

SINTA AONJA JOTO YA JIWE KUTOKA KWA ISABELA, SOMA HAPA

2:25 AM


ISABELA Mpanda ambaye ni mwanamuziki na muigizaji wa filamu nchini ameonekana kuwa katika beef na Sintah kwa kumchana live kupitia mtandao mmoja wa kijamii. Hata hivyo sababu ya Bella kumtolea uvivu Sintah ambaye ni muigizaji wa filamu pia na blogger haijajulikana. Bella aliandika na kuweka picha ya Sintah kama inavyoonekana hapo chini

"Wewe sinta kwa nini unapenda kufwatilia maisha ya watu. Jione apo miwan na ilo pua lako na miziwa na viguu kama chelewa na mkorogo wa mia 2 . Nimekuchoka why wewe unapenda kufwatilia mambo ya watu. Nafikir umenielewa nini namaanisha. Na chokoza hao wapole mimi nitakufuraisha"

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....