STAA wa Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’ amepangua skendo
inayomtafuna ya kutoka na kigogo mmoja wa wizara nyeti ya Serikali ya
Tanzania na kupachikwa ujauzito.
“Watu wamenizushia mambo kibao kuhusiana na ujauzito wakati sina na wala sijawahi kuwa kwenye uhusiano na kigogo yeyote wa serikalini, hata mtu anayetajwa sijawahi kumuona zaidi ya kumsikia tu.
“Naomba nieleweke kuwa nina mchumba wangu na anajulikana hadi kwetu,” alisema Linah.
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments