, ,

LINAH NDANI YA SKENDO YA KUTOKA NA KIGOGO WA SERIKALI, SOMA HAPA

7:03 AM

STAA wa Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’ amepangua skendo inayomtafuna ya kutoka na kigogo mmoja wa wizara nyeti ya Serikali ya Tanzania na kupachikwa ujauzito.

Estelinah Sanga ‘Linah’.
Akizungumza na mwandishi wetu, Januari 17, mwaka huu, Linah alisema shutuma hizo zimemwandama wakati siyo za kweli na hana uhusiano wa kimapenzi na kigogo yeyote wa serikalini.
“Watu wamenizushia mambo kibao kuhusiana na ujauzito wakati sina na wala sijawahi kuwa kwenye uhusiano na kigogo yeyote wa serikalini, hata mtu anayetajwa sijawahi kumuona zaidi ya kumsikia tu.
“Naomba nieleweke kuwa nina mchumba wangu na anajulikana hadi kwetu,” alisema Linah.


#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#

You Might Also Like

0 comments

JIUNGE UPATE HABARI

Jisajili Sasa upate E-mail ya Kila Tunachochapisha....