matukio,
mpya
HIVI NDIVYO CHADEMA WALIVYOKULA VICHWA KWENYE MKUTANO WAO HUKO RUVUMA, TAZAMA HAPA
12:50 AM
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Willbroad
Slaa pamoja na Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa wakitumia usafiri
wa anga jana walianza kuwasha moto mkoani Ruvuma katika M4C- Operesheni
Pamoja Daima.
#SHARE THIS NEWS AND WIN!!!#
0 comments